Tarehe 21 Januari,2023, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa VETA,CPA Anthony Kasore
amekagua kiwanja kitakachotumika kwa ajili ya ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi
cha Wilaya ya Songwe ikiwa ni hatua za maandalizi ya ujenzi wa vyuo 64 vya
Ufundi Stadi vya Wilaya nchini unaotarajiwa kuanza hivi karibuni!CPA Kasore
aliongozana na viongozi mbalimbali wa Wilaya ya Songwe akiwemo Mbunge wa Jimbo
la Songwe, Mhe. Philipo Mulugo.
No comments:
Post a Comment