Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi
wengine wa Kitaifa wakati akiweka Jiwe la Msingi Chuo cha Ufundi Stadi (VETA)
cha Wilaya ya Igunga mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) cha Wilaya ya Igunga kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA. Anthony Kasore, wakati wa hafla ya Uwekaji Jiwe la Msingi katika chuo hicho tarehe 17 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua moja ya Vyumba vya Madarasa Chuo cha
Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Wananchi mbalimbali waliojitokeza kushuhudia uwekaji wa Jiwe la Msingi Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) cha Wilaya ya Igunga mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Muonekano wa majengo ya Chuo cha
Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Igunga mkoani Tabora kilichowekewa Jiwe la Msingi
na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
tarehe 17 Oktoba, 2023.
No comments:
Post a Comment