Wafanyakazi
wa VETA Makao Makuu,Kanda ya Kati,chuo cha VETA Mkoa wa Dodoma na chuo cha VETA
wilaya ya Kongwa wakipita mbele ya mgeni rasmi leo tarehe 1 Mei, 2024 katika
maadhimisho ya siku ya wafanyakazi yanayoazimishwa kimkoa katika viwanja vya Jamhuri jijini
Dodoma.
No comments:
Post a Comment