Mwafunzi wa fani ya usisi na urembo Esther Elikana kutoka chuo cha VETA Shinyanga akitoa huduma kwa mteja Judith Kingazi mkazi wa Kigamboni Jijini Dar es salaam,alipotembelea babda la lililopo viwanja vya Julius K. Nyerere (sabasaba) Jijini Dar es salaam.
“Nimekuja banda la VETA kupata huduma ya kutengenezwa nywele,kwasababu huduma za saluni zinazotolewa VETA zina bora wa hali juu, na hii siyo mara yangu ya kwanza kuja kupata huduma hii mara kwa mara VETA wanapokuwa katika maonesho haya huwa nafika nakupata huduma za saluki nawakaribisha ba wengine kuja hapa “amesema Judith “
Maenesho hayo ya Biashara ya Kinataifa Dar es salaam (sabasaba) yameanza tarehe 28 Juni 2024 yarafikia kilele tarehe 13 Julai 2024.
VETA knawakiribisha
wakazi wote wa Jiji la Dar es salaam na mikoa ta jirani kutembelea banda lake
lililopo viwanja vya Julius.K.Nyerere (sabasaba) ili kujionea shughuli
mbalimbali zinazofantwa na VETA kama
vile programu za mafunzo ,bidhaa na bunifu mbalimbali zinazofanywa na walimu na
wanafunzi kutoka VETA.
No comments:
Post a Comment