CONTACT US: VETA Head Office, P.O.Box 802 Dodoma Tanzania, Plot No. 18, Central business Park (CBP). E-mail: info@veta.go.tz / pr@veta.go.tz/ Telephone: +255 26 2963661 Mobile +255 755267489 Fax: +255 22 2863408 / Url: www.veta.go.tz

Wednesday, 19 February 2025

RAIS SAMIA AMETOA ZAIDI YA BILIONI 22 VETA



 

“Kwenye eneo la teknolojia kwanza kabisa hatuwezi kukataa siku hizi teknolojia imekuwa kwa kasi zaidi na kama tunavyoona siku hizi kwenye viwanda vingi wanahitaji matumizi ya robot kufanya kazi zao na kuna mashine ambazo zipo na teknolojia ya hali ya juu sasa sisi kama veta tumekuwa tukijitahidi kuhakikisha tunaendana na kasi ya teknolojia kwa kutoa mafunzo ambayo ni ya kiteknolojia ili kuhakikisha mwanafunzi anaemaliza aendane na soko la ajira.


Sisi kama veta tulikuwa na mpango wakuongeza wataalamu zaidi ya 1000 na mpaka sasa tumeshaajiri wataalamu 600 ambao wamekuwa wakufunzi kwenye vyuo vyetu nchi nzima na kwa kufanya hivyo tunataka kutoa wanafunzi ambao akishamaliza chuo ataweza kuajiriwa au kujiajiri” - CPA Antony Kasore - Mkurugenzi mkuu VETA


No comments:

Post a Comment