Mwalimu wa fani ya
ukataji na ung'arishaji madini Robert Onesmo wa VETA Shinyanga akimwelekeza mhitimu wa fani ya sheria toka chuo kikuu cha Dar es salaam
Dorcas Emanuel kwa vitendo jinsi yakutumia kifaa cha light Microscopes kinacho tumika kufanya utambuzi
wa madini Vito alipotembelea banda la VETA katika viwanja vya AICC Jijini Arusha.
"Kilicho ni vuta
kuja kutembelea banda la VETA hasa ilikuwa nikujionea nikwanamna gani kifaa
hiki kinavyo tumika kutambua aina gani ya uchafu ipo kwenye madini ilikupata
thamani halisi ya madini kabla ya kuyauza" amesema Dorcas.
Maonesho hayo ya
jukwaa la tatu la madini la utekelezaji wa ushirikishwaji wa wa Tanzania katika
sekta ya Madini yatafikia kilele tarehe
24 Mei 2024 Jijini Arusha.
No comments:
Post a Comment