Wanafunzi kutoka Shule mbalimbali za msingi mkoani Tanga wakipata maelezo kuhusu fursa za mafunzo, ujuzi na bunifu mbalimbali zinazotolewa na kupatikana katika banda la VETA tarehe 27.05.2024 kwenye Maonesho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayoendelea katika viwanja vya shule ya Sekondari Popatlal jijini Tanga.
No comments:
Post a Comment