CONTACT US: VETA Head Office, P.O.Box 802 Dodoma Tanzania, Plot No. 18, Central business Park (CBP). E-mail: info@veta.go.tz / pr@veta.go.tz/ Telephone: +255 26 2963661 Mobile +255 755267489 Fax: +255 22 2863408 / Url: www.veta.go.tz

Friday, 21 February 2025

VETA KUWAFIKIA WANUFAIKA 5,040 WALIO HATARINI KUPATA UKIMWI

 

Chuo cha Mafunzo na ufundi kupitia mradi wa timiza malengo umepanga kuwafikia wanufaika 5,040 walio hatarini kupata maambukizi ya Ukimwi katika Halmashauri 18 kutoka mikoa 6 ya Ruvuma, Njombe, Tabora, Lindi na Mara watapata elimu ya fani mbalimbali katika chuo hicho.

Akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa timiza malengo, Mkurugenzi wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi wa veta Dkt Abdallah Ngodu alisema kuwa wanufaika wa mradi ni watu wenye umri kati miaka 10 - 24 ambao wapo kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ukimwi.

Bonyeza hapa kuona zaidi.


No comments:

Post a Comment