CONTACT US: VETA Head Office, P.O.Box 802 Dodoma Tanzania, Plot No. 18, Central business Park (CBP). E-mail: info@veta.go.tz / pr@veta.go.tz/ Telephone: +255 26 2963661 Mobile +255 755267489 Fax: +255 22 2863408 / Url: www.veta.go.tz

Wednesday, 28 September 2016

VETA NA AIRTEL WAANZISHA MAFUNZO YA STADI ZA UFUNDI KUPITIA SIMU.



Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)Kwa kushirikiana na Airtell imeanzisha mafunzo kwa njia ya Simu za Mkononi yajulikanayo kama “VSOMO”  yaani VETA SOMO, Mafunzo yatawawezesha vijana kupata  kozi mbalilmbali zitakazotelewa katika vituo vya VETA nchini.
Anayetaka kujiunga atatakiwa kuingia kwenye Application ya “VSOMO” Kuanzishwa kwa VSOMO itasaidia kupanua WIGO na FURSA na kuwafikia vijana wengi zaidi nchini. Karibu hapa kupakua VSOMO App https://goo.gl/QrY0sN

No comments:

Post a Comment