CONTACT US: VETA Head Office, P.O.Box 802 Dodoma Tanzania, Plot No. 18, Central business Park (CBP). E-mail: info@veta.go.tz / pr@veta.go.tz/ Telephone: +255 26 2963661 Mobile +255 755267489 Fax: +255 22 2863408 / Url: www.veta.go.tz

Monday 19 August 2019

FURSA ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO KATIKA VYUO VIPYA VYA VETA






Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) inawatangazia Wananchi kuwa imefungua rasmi vyuo vipya sita (6) vya Ufundi Stadi ambavyo ni Ileje (Mbeya), Nkasi (Katavi), Urambo (Tabora), Namtumbo (Ruvuma), Kanadi (Bariadi-Simiyu), Nyamidaho (Kasulu-Kigoma). Vyuo hivyo vitaanza kutoa mafunzo katika mwaka wa masomo 2020. 

Fomu za kujiunga na mafunzo zitaanza kutolewa tarehe 1 Agosti hadi 15 Septemba 2019. Watu wote wanaohitaji kujiunga na mafunzo ya ufundi stadi wanakaribishwa na wanaombwa wafike katika vyuo vilivyo karibu nao kama ilivyooneshwa kwenye jedwali lifuatalo ili kuchukua na kujaza fomu za kujiunga.
NA
JINA LA CHUO

MWASILIANO
FANI ZITAKAZOTOLEWA
SEHEMU YA KUCHUKUA FOMU
1.     
Chuo cha Ufundi Stadi ILEJE (KUTWA)
MKUU WA CHUO
ILEJE DVTC
S. L. P 125,
ILEJE
·         UMEME WA MAJUMBANI (EL)
·         USHONAJI (DSCT)
·         UHAZILI ( SC)

CHUO CHA ILEJE NA VETA MBEYA
2.     
Chuo cha Ufundi Stadi NKASI (KUTWA NA BWENI)
MKUU WA CHUO
NKASI DVTC
S. L. P 116
NKASI
·         UMEME WA MAJUMBANI (EL)
·         USHONAJI (DSCT)
·         UHAZILI ( SC)
CHUO CHA NKASI NA VETA MBEYA
3.     
Chuo cha Ufundi Stadi URAMBO ( BWENI NA KUTWA)
MKURUGENZI WA KANDA, KANDA YA MAGHARIBI,
S. L. P. 1218, TABORA
·         UMEME WA MAJUMBANI (EL)
·         USHONAJI (DSCT)
·         UHAZILI (SC)
·         UASHI (MB)

CHUO CHA VETA URAMBO
4.     
Chuo cha Ufundi Stadi NAMTUMBO (KUTWA)
MKUU WA CHUO
SONGEA VTC
S. L. P 902 SONGEA
·         UMEME WA MAJUMBANI (EL)
·         USHONAJI (DSCT)
·         UASHI (MB)
·         USEREMALA (CJ)
·         UFUNDI WA MITAMBO MIKUBWA (HDM)
·         UFINDI BOMBA (PPF)
CHUO CHA VETA SONGEA
5.    
Chuo cha Ufundi Stadi KANADI (KUTWA)
MKURUGENZI WA KANDA, KANDA YA MAGHARIBI,
S. L. P. 1218, TABORA
·         UMEME WA MAJUMBANI (EL)
·         USHONAJI (DSCT)
·         UHAZILI (SC)


CHUO CHA VETA SHINYANGA NA KANADI
6.    
Chuo cha Ufundi Stadi NYAMIDAHO (KUTWA NA BWENI)
MKURUGENZI WA KANDA, KANDA YA MAGHARIBI,
S. L. P. 1218, TABORA
·         UMEME WA MAJUMBANI (EL)
·         USHONAJI (DSCT)
·         UHAZILI (SC)
·         UASHI (MB)

CHUO CHA VETA KIGOMA NA NYAMIDAHO.

Kwa mawasiliano:
Mkurugenzi Mkuu,
VETA Makao Makuu,    S. L. P 2849,
Dar es Salaam       Email: info@veta.go.tz

No comments:

Post a Comment