CONTACT US: VETA Head Office, P.O.Box 802 Dodoma Tanzania, Plot No. 18, Central business Park (CBP). E-mail: info@veta.go.tz / pr@veta.go.tz/ Telephone: +255 26 2963661 Mobile +255 755267489 Fax: +255 22 2863408 / Url: www.veta.go.tz

Sunday, 27 September 2020

Uwekaji Jiwe la Msingi kwa ajili ya ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Ngorongoro

 

Uwekaji Jiwe la Msingi kwa ajili ya ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Ngorongoro umefanyika, tarehe 26 Septemba 2020, kwenye eneo la chuo hicho wilayani Ngorongoro, mkoani Arusha. Mgeni Rasmi alikuwa ni Mhe. Idd Hassan Kimanta, Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Shughuli hiyo iliambatana na makabidhiano ya majukumu ya kijamii kwa makundi-rika ya vijana wa kabila la Wasonjo ambao ndo walianzisha harakati za ujenzi wa chuo hicho.


No comments:

Post a Comment