Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeingia makubaliano ya kushirikiana na Shirika la REDESO kuwapatia elimu na stadi za matumizi ya nishati safi, vijana na wanawake zaidi ya 3,000.
Hati ya makubaliano ya ushirikiano huo imesainiwa jana, tarehe 26 Machi , 2025, katika ofisi za VETA Makao Makuu jijini Dodoma ambapo mafunzo hayo yatatolewa katika vyuo vya VETA nchini.
Bonyeza hapa kuona zaidi.
No comments:
Post a Comment